Ulikuwa unatoa taarifa nyeti za watu, wengine mpaka leo hatuwaoni wengine ndiyo kama hivyo. Leo unaanza kulialia? (2025)

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,714
36,514
  • Thursday at 7:28 PM
  • #1

Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.

Tate Mkuu

JF-Expert Member
Jan 24, 2019
32,156
93,970
  • Thursday at 7:31 PM
  • #2

Ooky!!!

CHIEF PRIEST

JF-Expert Member
Dec 13, 2021
10,755
19,965
  • Thursday at 7:33 PM
  • #3

G Sam said:

Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.

Inaweza kuwa kisomo cha Tanga kimeanza kujibu

Snowpiercer

JF-Expert Member
Sep 15, 2014
2,350
4,229
  • Thursday at 7:34 PM
  • #4

Wale wa D mbili tufungulieni code

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
27,579
14,918
  • Thursday at 7:35 PM
  • #5

G Sam said:

Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.

Chakadomoz Kwa kusutana

Hamjambo

M

mangichogo

JF-Expert Member
Oct 30, 2023
779
1,425
  • Thursday at 7:35 PM
  • #6

G Sam said:

Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.

Mmh! Hili bandiko nafikili umewakusudia watu mliosoma Cuba🤣🤣🤣

ephen_

JF-Expert Member
Oct 28, 2022
13,145
48,464
  • Thursday at 7:36 PM
  • #7

Half american

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
36,318
93,548
  • Thursday at 7:36 PM
  • #8

Nilijua mwanajf

Msingida

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
10,154
11,595
  • Thursday at 7:36 PM
  • #9

G Sam said:

Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.

Usimkurupue,ngoja ajimalize kwenye 18,aseme vizuri

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
37,219
46,558
  • Thursday at 7:37 PM
  • #10

macho_mdiliko

Platinum Member
Mar 10, 2008
24,688
47,702
  • Thursday at 7:38 PM
  • #11

G Sam said:

Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.

Huu ndiyo unaitwa ulevi wa madaraka. Unaona wengine kama siyo binadamu mpaka pale madaraka yanapoisha. Walijiamini sana kwa sasa dola ilikuwa nyuma yao. Si ajabu dola hiyo hiyo ndiyo iliwauza.

T

Tony Laurent

JF-Expert Member
Jan 5, 2011
5,411
6,720
  • Thursday at 7:41 PM
  • #12

G Sam said:

Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.

Ohooo!

M

mangichogo

JF-Expert Member
Oct 30, 2023
779
1,425
  • Thursday at 7:42 PM
  • #13

G Sam said:

Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.

Nimeweza kufungua kodi, ukitulia habari inaeleweka kiraisi sana

M

msapinungu

JF-Expert Member
Dec 29, 2013
676
395
  • Thursday at 7:42 PM
  • #14

G Sam said:

Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.

Nini shida? au kule kutaka kuongea na vyombo vya habari?

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,714
36,514
  • Thursday at 7:44 PM
  • Thread starter
  • #15

msapinungu said:

Nini shida? au kule kutaka kuongea na vyombo vya habari?

Sasa huyu ana nini cha kusema? Na atishie kitu gani? Tulisema haiwezekani wanaotekwa wawe Chadema tu! Kuna kitu! Sasa?

F

Fundi Mchundo

Platinum Member
Nov 9, 2007
10,195
8,484
  • Thursday at 7:46 PM
  • #16

G Sam said:

Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.

Kwa hiyo Mrema alijhusika katika kupotea kwa wanachama wa CDM? Taarifa hizo alikuwa anampelekea nani?

Chonde chonde mnakoelekea si kuzuri,

Amandla...

V

Vikintu

JF-Expert Member
May 26, 2021
2,005
3,084
  • Thursday at 7:48 PM
  • #17

G Sam said:

Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.

Kama mmeingia kwa gia hiyo ya visasi hamtafika popote. Niko pale, nawasubiri.

F

Fundi Mchundo

Platinum Member
Nov 9, 2007
10,195
8,484
  • Thursday at 7:48 PM
  • #18

G Sam said:

Sasa huyu ana nini cha kusema? Na atishie kitu gani? Tulisema haiwezekani wanaotekwa wawe Chadema tu! Kuna kitu! Sasa?

Ulitaka wa chama kipi kingine watekwe maana inaelekea wanachama wa ACT Wazalendo walioumizwa hauwaoni.

Amandla...

kaa chini

JF-Expert Member
Jun 4, 2022
1,679
3,376
  • Thursday at 7:51 PM
  • #19

Ngoja tuone mwisho wake

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
27,579
14,918
  • Thursday at 7:53 PM
  • #20

Fundi Mchundo said:

Kwa hiyo Mrema alijhusika katika kupotea kwa wanachama wa CDM? Taarifa hizo alikuwa anampelekea nani?

Chonde chonde mnakoelekea si kuzuri,

Amandla...

Acha wamanuane

You must log in or register to reply here.

Ulikuwa unatoa taarifa nyeti za watu, wengine mpaka leo hatuwaoni wengine ndiyo kama hivyo. Leo unaanza kulialia? (2025)
Top Articles
Latest Posts
Recommended Articles
Article information

Author: Amb. Frankie Simonis

Last Updated:

Views: 6028

Rating: 4.6 / 5 (56 voted)

Reviews: 87% of readers found this page helpful

Author information

Name: Amb. Frankie Simonis

Birthday: 1998-02-19

Address: 64841 Delmar Isle, North Wiley, OR 74073

Phone: +17844167847676

Job: Forward IT Agent

Hobby: LARPing, Kitesurfing, Sewing, Digital arts, Sand art, Gardening, Dance

Introduction: My name is Amb. Frankie Simonis, I am a hilarious, enchanting, energetic, cooperative, innocent, cute, joyous person who loves writing and wants to share my knowledge and understanding with you.